Sales And Marketing Specialist

Valu-Mart

NAFASI ZA KAZI ZA UWAKALA WA MAUZO

Freelancer, Full-time •

WHAT THIS JOB IS ABOUT: Wakala wa Mauzo anatakiwa kutafuta wateja wenye uwezo na uhitaji wa kununua bidhaa zetu.

YOU’RE TASKS

1. Kutafuta masoko ya kufanyia mauzo

2. Kutafuta na kusajili wateja wenye uwezo na uhitaji wa kununua bidhaa zetu.

3. Kumfanyia usahili wa mkopo mteja aliyopo tayari kununua kwa mkopo.

QUALIFICATIONS

1. Uwe na elimu ya kuanzia form four au zaidi

2. Uwe na Umri usiopungua miaka 20

3. Uwe tayari kuhamia sehemu nyingine

4. Uwe mwenye kujituma

MALIPO

-Tshs (250,000 kwa Mwezi)

-Tshs (150,000 kwa mwezi iwapo utafikisha target) Bonus

MAENEO TUNAYOITAJI MAWAKALA WA MAUZO.

Arusha, Manyara, Tanga

Kilimanjaro, Singida, Dar es Salaam, Geita, Shinyanga, Kagera, Simiyu, Mara, Tabora, Mwanza, Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Iringa, Njombe, Mtwara, Lindi

HOW TO APPLY

Tuma Maombi yako kwa kuandika

Kwa email: karibu@valumart.co.tz

Au WhatsApp Only:

0621 312 072 (USIPIGE SIMU)

Job Search Tanzania